nawasalimu nyote katika Jina la Yesu Kristo.
tumekuwa kimya sana. sijui tumechoka sana.! tusichoke. tuamke na tujadiliane. yapo mambo mengi yatupasayo kushirikishana kila leo ili kuwekana macho. shetani anazunguka sana kuwatia uzito watoto wa Mungu. sisi tunaosikia leo na tukatae kugandamizwa na adui. tuamke na kwa pamoja tushirikiane upya kumpindua shetani na hila zake zote.
pamoja ndani ya ushirika wa Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu.
binafsi nimewamiss sana na nawaombeni kwa upendo kabisa tukutane katika jukwaa letu la AMEFUFUKA MAJADILIANO/DISCUSSIONS.
BARIKIWA!