Samuel of Jesus wrote:Fungu la kumi ni la baba yako wa kiroho. Yule anayewajibika na maisha yako ya Kiroho. Maana hawana kazi zaidi ya kukuchunga wewe. Sio la yatima au wajane. Kwa yatima na wajane toa sadaka sio fungu la kumi.
Lydia wrote:kwa upande wangu sikubaliani na sentensi hii. 10% ni amri na tusipotoa tunamuibia Mungu, maana yake tumeiasi sheria mojawapo ya Mungu.
Guzo wrote:Wote mmesema vyema! ila mimi ninapozipata muda ule ule na mahali popote namtafuta mchungaji nampa ili nisije nikazila!.
Kaka Samuel of Jesus, dada Lydia, na kaka Guzo, mimi nitawaelewa zaidi mkinipa andiko kutoka kwenye Biblia linayounga mkono mnayosema hapo juu. Je, mnafahamu kuwa wakatoliki wengi hawali nyama siku ya Ijumaa? Wengi alifundishwa kuwa Bwana Yesu alisulubiwa siku ya Ijumaa na hivyo ni 'hatia' kula nyama siku hiyo. Nitatoa mfano mwingine: "
Remember the Sabbath day, to keep it holy. Six days you shall labor, and do all your work; but the seventh day is a Sabbath to The Lord your God; in it you shall not do any work, you, or your son, or your daughter, your manservant, or your maidservant, or your cattle, or the sojourner who is within your gates; for in six days The Lord made heaven and earth, the sea, and all that is in them, and rested the seventh day; therefore The Lord blessed the Sabbath day and hallowed it."
Hiyo ni
amri ya nne ya Mungu kwa Musa na wanaIsraeli. Swali basi ni hili, wewe hufuata amri hii? Kama jibu ni hapana, sababu zako ni zipi? Tena, je nyumbani kwako nyinyi hupika chakula siku hii? Kama jibu ni ndio, kwa nini? Hiyo si nikuvunja
amri ya nne? Umewahi kutembe siku hii ya Sabato? Kama jibu ni ndio, kwa mwendo wa umbali gani? Kumbuka huruhusiwi kutembea kwa zaidi ya mwendo wa umbali fulahi kwenye Sabato? Umewahi kufanya kazi yoyote siku ya Sabato? Kama jibu ni ndio, kwa nini?
Je, kutoa Fungu la Kumi (FlK) ni kati ya amri kumi za Mungu? Jibu ni
hapana. Je, kwenye Agano jipya Wakristo wanafundishwa au kuhimizwa kutoa FlK? Jibu ni
hapana.. Wengi tumefundishwa kuwa kutoa FlK ni
AMRI na kutotoa ni hatia. Swali langu ni hili, nipe maandiko yanayoagiza hayo. Soma Biblia tafadhali, hata kama ni kusoma kitabu cha Malaki, kisome kitabu chote ukielewe. Soma Agano la Kale sehemu zinazozungumzia utoaji wa FlK.
"Mungu anasaidia wanaojisaidia" umewahi kusikia msemo huo? Wengi tumeusikia hivi: "Biblia inasema kuwa Mungu husaidia wanaojisaidia". Watu wengi, hata Wakristo pia, wanadhani kuwa msemo huu ni kweli na kwamba Biblia inasema hivyo. Hiyo ndio sababu ni muhimu kuisoma Biblia na kuielewa.
[color=indigo]“10 For whosoever shall keep the whole law, and yet offend in one point, he is guilty of all. 11 For he that said, Do not commit adultery, said also, Do not kill. Now if thou commit no adultery, yet if thou kill, thou art become a transgressor of the law.â€